Kama jibu lako ndio basi usihofu kwani nina habari nzuri sana.
Tumekuandalia video BURE yenye kukuonyesha "Jinsi ya Kutumia Mtandao wa Facebook na Instagram Kunasa Wateja."
Baada ya kutangaza zaidi ya miaka 7 katika mtandao wa Facebook na miaka 2 Instagram na kuwasaidia mamia ya wajasiriamali, tumegundua kuwa kuna jambo moja la msingi ukilifahamu utaweza kunasa wateja kwa wingi kupitia mtandao wa Facebook na Instagram kuliko jambo jengine lolote.
Wako,
~ Dr. Said Said
Mkurugenzi - Online Profits
copyrights © 2024 123Tanzania.com All rights reserved. Designed & Maintained by Powerweb