Enterprise Finance Ltd - Je unahitaji mkopo wa haraka?

JE UNAHITAJI MKOPO WA HARAKA?

Enterprise Finance Limited (EFL) Ni kampuni inayotoa mikopo ya haraka na masharti nafuu kwa wafanyakazi, wafanyabiashara na wenye makampuni.
Mikopo inayotolewa inategemea uhitaji, uwezo wa kulipa, Uaminifu wa mteja na dhamana ya mkopo; lengo likiwa ni kutoa suluhisho la kweli kwa watu wenye mahitaji ya haraka ya kifedha kwa kuwawezesha kupata huduma ndani ya muda mfupi usiozidi masaa 48 baada ya kukamilisha vigezo vyote.

Kwa sasa tunapatikana katika mikoa ya Dar –es- salaam na Arusha

DAR-ES-SALAAM.

Tupo katika jengo la WHITE STAR COMPLEX, SINZA, MKABALA NA SHULE YA MSINGI MAPAMBANO
Wasiliana nasi kupitia 0768 928 516 au 0653 243 864

ARUSHA

Tupo SABA PLAZA, MTAA WA NDOVU
Wasiliana nasi kupitia 0764 594 831 au 0657 594 831

Baruapepe info@efl.co.tz
Tovuti www.efl.co.tz


Hits (764)

copyrights © 2024 123Tanzania.com   All rights reserved. Designed & Maintained by Powerweb