PCTL Training Institution Ltd - NJIA MBALI MBALI ZA KUSOMA BAADA YA KUMALIZA FORM FOUR

Semina kwa wanafunzi na wazazi

Inawahusu wale waliofaulu na wale ambao hawakufaulu vizuri pia

.................................................................................................................................

Mahali: Sunni Muslim Hall, Mkabala na Hospital ya Apolo Karibu na Tawi la Benki ya NMB Morogoro Road karibu na stendi ya Kisutu zamani

Muda: Kuanzia saa 4:30 Asubuhi

Mada: NJIA MBALI MBALI ZA KUSOMA BAADA YA KUMALIZA FORM FOUR

Mtoa Mada: Ms Amina Ramadhani

• MSc Project Planning and Management kutoka Chuo Kikuu cha Bradford Uingereza na B.A Chuo Kikuu cha Dar es salaam
• Mlezi na mshauri wa vijana kwa Zaidi ya miaka kumi sasa
• Mtunzi wa vitabu na majarida mbali mbali

Wahi kujiandikisha kwani nafasi ni chache.Watakaoshiriki ni wale tu watakaothibitisha ushiriki wao.

.................................................................................................................................

Mawasiliano Zaidi:

India Street, Sabodo Parking Building - 10th Floor

+255 718 385 424, +255 715 022 125

courses@pctl.co.tz

www.pctl.co.tz


Hits (757)

copyrights © 2026 123Tanzania.com   All rights reserved. Designed & Maintained by Powerweb